Waajiri Bora wa ATE 2016 wapewa zawadi zao - THINKING IN BUSINESS

Mgongopr.blogspot.com is a business centered online platform highlighting trade, finance and economic news in Tanzania. Our coverage is customised to ensure we consolidate brands, boost sales and nurture investments. The site is an imprint of Mgongo Logistics and Solutions, a trusted consultancy firm, offering Social Media Management, Photography, Videography, Advertising, Event Management and Translation. For more information contact us via; Phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Tuesday, December 13, 2016

Waajiri Bora wa ATE 2016 wapewa zawadi zao


Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa (wa pili kushoto), akikabidhi kikombe kwa Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), David Magese baada ya kampuni hiyo kuibuka  mshindi wa jumla wa Tuzo za Mwajiri   Bora wa mwaka 2016 zinazoandaliwa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam juzi. Kushoto  ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,  Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu,  Jenista Mhagama,  na Mwenyekiti wa ATE, Almas Maige.
 Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa (wa pili kushoto), akikabidhi kikombe kwa Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Kampuni ya Cocacola Kwanza Ltd, Sigifrid Faustine baada ya kampuni hiyo kuibuka  mshindi wa pili wa Tuzo za Mwajiri   Bora wa mwaka 2016 zinazoandaliwa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam juzi. Kushoto  ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,  Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu,  Jenista Mhagama na na Mwenyekiti wa ATE, Almas Maige

Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa (wa pili kushoto), akikabidhi kikombe kwa Makamu wa Rais wa Kampuni ya Geita Goldmine, Simon Shayo  baada ya kampuni hiyo kuibuka  mshindi wa tatu wa Tuzo za Mwajiri   Bora wa mwaka 2016 zinazoandaliwa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam juzi. Kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,  Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu,  Jenista Mhagama, na Mwenyekiti wa ATE, Almas Maige.

Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), Dk. Aggrey Mlimuka (kushoto), akizungumza wakati wa hafla ya Tuzo za Mwajiri Bora za Mwaka 2016 jijini Dar es Salaam juzi. Kushoto kwake ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,  Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu,  Jenista Mhagama, Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa na Mwenyekiti wa ATE, Almas Maige.

No comments:

Post a Comment

BENKI YA ABSA YAENDELEA KUWAWEZESHA WANAWAKE WAJASIRIMALI KIUCHUMI

Meneja Bidhaa wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Bryton Kimemeta (kushoto), akizungumza na baadhi ya wanawake wajasiriamali, wanachama wa Taasis...

Pages