Zantel yafungua duka la kisasa jengo la China Plaza Mtaa wa Uhuru,Kariakoo - THINKING IN BUSINESS

Mgongopr.blogspot.com is a business centered online platform highlighting trade, finance and economic news in Tanzania. Our coverage is customised to ensure we consolidate brands, boost sales and nurture investments. The site is an imprint of Mgongo Logistics and Solutions, a trusted consultancy firm, offering Social Media Management, Photography, Videography, Advertising, Event Management and Translation. For more information contact us via; Phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Wednesday, December 21, 2016

Zantel yafungua duka la kisasa jengo la China Plaza Mtaa wa Uhuru,Kariakoo


Ofisa Mtendaji Mkuu wa Zantel Tanzania, Benoit Janin (kulia), akikata utepe kuashiria uzinduzi wa duka na kituo cha huduma kwa wateja cha kampuni hiyo katika jengo la China Plaza, Kariakoo, Dar es Salaam leo. Kushoto kwake ni wakala wa huduma kwa wateja, Asengo Adam na Meneja wa duka hilo, Yasmeen Ismail.

 
 Ofisa Mtendaji Mkuu wa Zantel Tanzania, Benoit Janin (katikati), akiangalia wakati wakala wa huduma kwa wateja katika duka la kampuni lililopo katika jengo la China Plaza, Magdalena Mbayuwayu (kulia), akihudumia wateja wakati wa uzinduzi rasmi wa duka na kituo hicho, Kariakoo, Dar es Salaam leo. Kulia kwake ni Meneja wa duka hilo, Yasmeen Ismail.
Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja wa Zantel Tanzania, Gabriel Magambo (katikati), akizungumza na waandishi  wa habari katika hafla ya  uzinduzi wa duka na kituo cha huduma kwa wateja cha kampuni hiyo katika jengo la China Plaza Kariakoo, Dar es Salaam leo.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Zantel Tanzania, Benoit Janin (katikati), akimsikiliza meneja wa duka na kituo cha huduma kwa wateja cha kampuni hiyo katika jengo la China Plaza, Yasmeen Ismail wakati mhudumu katika duka hilo Magdalena Mbayuwayu (kulia), akihudumia wateja mara baada ya hafla ya uzinduzi rasmi wa duka na kituo hicho, Kariakoo, Dar es Salaam leo.

No comments:

Post a Comment

BENKI YA ABSA YAENDELEA KUWAWEZESHA WANAWAKE WAJASIRIMALI KIUCHUMI

Meneja Bidhaa wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Bryton Kimemeta (kushoto), akizungumza na baadhi ya wanawake wajasiriamali, wanachama wa Taasis...

Pages