Ngoma Africa band na muziki wao imetua kwa Wayaudi kutumbuiza sherehe za uhuru Yom Haatzmaut - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Friday, April 28, 2017

Ngoma Africa band na muziki wao imetua kwa Wayaudi kutumbuiza sherehe za uhuru Yom Haatzmaut

                                 Kamanda Ras Makunja akilindwa na madansa wake
                        Kamanda Ras Makunja mkuu wa kikosi kazi ngoma africa band
                             Ngoma Africa band aka FFU aka ANUNNAKI ALIEN
Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni aka viumbe wa ajabu Anunnaki aliens
Ngoma Africa band
Ngoma-Africa Band

Habari zinaeleza kuwa Ngoma Africa band aka FFU bendi maarufu ya muziki wa dansi barani Ulaya yenye mako kule Ujerumani inatua nchini Israel kutumbuiza katika onyesho maalum la siku ya uhuru wa nchi ijulikanayo kama  Yom Haatzmaut siku ya tarehe 1 mpaka 2 Mei 2017 mjini Tel Aviv. Mmoja ya wanaitifaki wa maonyesho hayo Bi.Shimone amesema bendi hiyo ndio ya kwanza ya kiafrika kupata mwaliko wa kutumbuiza katika maonyesho hayo lakini hakupenda kuelezea zaidi. Habari za uhakika zimevuja kuwa bendi hiyo imesafiri kimya kimya kutoka Ujerumani kuelekea kwa wayahudi kwa ajili ya onyesho hilo. (By Buberwa Jacob)

No comments:

Post a Comment

Benki ya Absa yaendeleza udhamini wake Absa Dar City Marathon

Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Bwana Aron Luhanga (wa pili kushoto) akionyesha fulana zitakazovaliwa siku ya mbio ...

Pages