Mshindi wa kampeni ya akaunti ya Malengo ya NBC akabidhiwa gari - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Wednesday, March 22, 2017

Mshindi wa kampeni ya akaunti ya Malengo ya NBC akabidhiwa gari

Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Beni ya NBC, Filbert Mponzi (katikati), akikabidhi funguo ya gari aina ya Toyota Hilux double cabin mpya ya mwaka  2016 kwa Aldo Nsuha  mshindi wa kampeni ya akaunti ya malengo ya benki hiyo iliyodumu kawa muda wa miezi mitatu. Kulia ni mke wa mshindi huyo, Zenobia Tarimo. Hafla ya makabidhiano ilifanyika jijini Dar es Salaam leo. Wateja wawili wa benki hiyo walishinda zawadi ya gari kila mmoja.
Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Beni ya NBC, Filbert Mponzi (katikati), akikabidhi nyaraka za bima za gari aina ya Toyota Hilux double cabin mpya ya mwaka  2016 kwa Aldo Nsuha  mshindi wa kampeni ya akaunti ya Malengo ya benki hiyo iliyodumu kawa muda wa miezi mitatu. Kulia ni mke wa mshindi huyo, Zenobia Tarimo. Hafla ya makabidhiano ilifanyika jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Beni ya NBC, Filbert Mponzi (katikati), akikabidhi vibao vya namba za gari aina ya Toyota Hilux double cabin mpya ya mwaka  2016 kwa Aldo Nsuha  mshindi wa kampeni ya akaunti ya Malengo ya benki hiyo iliyodumu kawa muda wa miezi mitatu. Kulia ni mke wa mshindi huyo, Zenobia Tarimo. Hafla ya makabidhiano ilifanyika jijini Dar es Salaam.
Mshindi wa kampeni ya akaunti ya Malengo ya Benki ya NBC, Aldo Nsuha mkazi wa Tabata, jijini Dar es Salaam akijaribu kuwasha gari lake aina ya Toyota Hilux double cabin mpya ya mwaka  2016 baada ya kukabidhiwa jijini Dar es Salaam leo. Anayemuangalia ni mke wake, Zenobia Tarimo. (Photo by MPP LTD)

No comments:

Post a Comment

Absa Dar City Marathon 2024 zatimua vumbi jijini Dar es Salaam

Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Bwana Aron Luhanga (kushoto), akikabidhi zawadi kwa mshindi wa kwanza wa mbio za nu...

Pages