Benki ya Biashara ya DCB yazindua uuzaji wa Hisa zake jijini Dar - THINKING IN BUSINESS

Mgongopr.blogspot.com is a business centered online platform highlighting trade, finance and economic news in Tanzania. Our coverage is customised to ensure we consolidate brands, boost sales and nurture investments. The site is an imprint of Mgongo Logistics and Solutions, a trusted consultancy firm, offering Social Media Management, Photography, Videography, Advertising, Event Management and Translation. For more information contact us via; Phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Tuesday, November 13, 2018

Benki ya Biashara ya DCB yazindua uuzaji wa Hisa zake jijini Dar

01
Mkurugenzi wa Fedha wa Benki ya Biashara ya DCB, Zacharia Kapama (kushoto), akizungumza katika hafla ambayo DCB ilizindua zoezi la uuzaji wa hisa kwa mwaka 2018, jijini Dar es Salaam jana.Uzinduzi huo unawalenga wanahisa waliopo, wawekezaji wapya na umma wa watanzania ikizingatiwa kuwa kwa mara ya mwisho DCB ilitoa fursa kama hiyo mwaka 2012.02
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenbzi wa DCB, Prof. Lucian Msambichaka (wa tano kulia), akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa uuzaji hisa za benki hiyo kwa mwaka 2018 jijini Dar es Salaam jana. Kushoto kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa DCB, Godfrey Ndalahwa na maofisa wengine wa benki hiyo. Uzinduzi huo unawalenga wanahisa waliopo, wawekezaji wapya na umma wa watanzania ikizingatiwa kuwa kwa mara ya mwisho DCB ilitoa fursa kama hiyo mwaka 2012.
03%2B%25281%2529
Rais Mstaafu wa Awamu ya tatu, Benjamin William Mkapa (kulia), akikabidhi hundi kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Biashara ya DCB, Prof. Lucian Msambichaka baada ya kununua hisa za benki hiyo muda mfupi baada ya DCB kuzindua zoezi la uuzaji wa hisa kwa mwaka 2018, jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa DCB, Godfrey Ndalahwa. Uzinduzi huo unawalenga wanahisa waliopo, wawekezaji wapya na umma wa watanzania ikizingatiwa kuwa kwa mara ya mwisho DCB ilitoa fursa kama hiyo mwaka 2012.04

Baadhi ya wafanyakazi wa DCB na waalikwa wengine wakihudhuria halfla hiyo jijini Dar es Salaam jana.
05%2B%25281%2529

Rais Mstaafu wa Awamu ya tatu, Benjamin William Mkapa (kulia), akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Biashara ya DCB, Prof. Lucian Msambichaka ofisini kwake Dar es Salaam jana wakati akinunua hisa za benki hiyo muda mfupi baada ya DCB kuzindua zoezi la uuzaji wa hisa kwa mwaka 2018. Kushoto ni Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa DCB, Rahma Ngassa na Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Godfrey Ndalahwa.
06Mwwenyekiti wa Bodi DCB, Prof. Lucian Msambichaka (katikati), akipozi kwa picha ya kumbukumbu na baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo na waalikwa wengine baada ya tukio la uzinduzi wa uuzaji wa hisa za benki hiyo jijini Dar es Salaam jana.

No comments:

Post a Comment

Portwest Deepens East African Footprint with Apparel Manufacturing Investment in TanzaniaDar es Salaam, Tanzania

The Deputy Minister for Industry and Trade, Hon. Denis Londo (center), cuts the ribbon to mark the official opening of Afriport’s occupation...

Pages