Udhamini wa NBC wang’arisha shindano la Shika Ndinga jijini Dodoma - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Tuesday, April 23, 2019

Udhamini wa NBC wang’arisha shindano la Shika Ndinga jijini Dodoma

Meneja wa Benki ya NBC Kanda ya Kati, James Ndimbo, akikabidhi zawadi ya pikipiki kwa mkazi wa Dodoma, Twaha Saleh aliyojishindia katika kampeni ya Shika Ndinga inayodhaminiwa na benki hiyo na kuandaliwa na kituo cha redio cha EFM. hafla hiyo ilifanyika jijini Dodoma hivi karibuni. 
Washiriki wa Shindano a Shika Ndinga Upande wanaume wakichuana ili kumpata mshindi wa shindano hil lililodhaminiwa na Benki ya NBC na kufanyika mjini Dodoma hivi karibuni. Twaha Saleh alishinda na kuzawadiwa zawadi ya pikipiki.
Washiriki wa Shindano a Shika Ndinga Upande wanawake wakichuana ili kumpata mshindi wa shindano hil lililodhaminiwa na Benki ya NBC na kufanyika mjini Dodoma hivi karibuni. Sarah Ntenga  alishinda na kuzawadiwa zawadi ya pikipiki.
Baadhi ya wakazi wa Dodoma waliohudhuria katika shindano la Shika Ndinga wakimsiliza mfanyakazi wa NBC kitengo cha mauzo akiwaeleza kuhusu huduma za kibenki zitolewazo na benki hiyo na jinsi wanavyoweza kufungua akaunti ya Fasta ya NBC kwa gharama za kuanzia shs 5000 na kupewa kadi ya ATM aina ya Visa papo hapo.
Meneja wa Benki ya NBC Kanda ya Kati, James Ndimbo, akikabidhi zawadi ya pikipiki kwa mkazi wa Dodoma, Sarah Ntenga aliyojishindia katika kampeni ya Shika Ndinga inayodhaminiwa na benki hiyo. hafla hiyo ikifanyika jijini Dodoma hivi karibuni.
Meneja wa Benki ya NBC Kanda ya Kati, James Ndimbo, akiungumza na umati wa watu uliojitokeza katika shindano la Shika Ndinga linalodhaminiwa na benki hiyo mjini Dodoma hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment

Absa Dar City Marathon 2024 zatimua vumbi jijini Dar es Salaam

Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Bwana Aron Luhanga (kushoto), akikabidhi zawadi kwa mshindi wa kwanza wa mbio za nu...

Pages