MKUTANO WA 13 WA KOROSO KUFANYIKA NOVEMBA 7-9 MWAKA HUU JIJINI DAR ES SALAAM - THINKING IN BUSINESS

Mgongopr.blogspot.com is a business centered online platform highlighting trade, finance and economic news in Tanzania. Our coverage is customised to ensure we consolidate brands, boost sales and nurture investments. The site is an imprint of Mgongo Logistics and Solutions, a trusted consultancy firm, offering Social Media Management, Photography, Videography, Advertising, Event Management and Translation. For more information contact us via; Phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Monday, July 29, 2019

MKUTANO WA 13 WA KOROSO KUFANYIKA NOVEMBA 7-9 MWAKA HUU JIJINI DAR ES SALAAM

Mkurugenzi Mkuu Shirikisho la wadau wa Korosho Afrika, Dk. Ernest Mintah, akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) wakati akitangaza kufanyika kwa Mkutano Mkuu wa 13 wa Mwaka wa Korosho unaotarajiwa kufanyika Novemba 7-9 mwaka huu jijini Dar es Salaam. Wengine kutoka kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania, Francis Alfred pamoja na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea katika Wizara ya Kilimo, Dk. Steven Ngairo aliyemwakilisha Waziri wake.
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea katika Wizara ya Kilimo, Dk. Steven Ngairo (katikati), akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) wakati akitangaza kufanyika kwa Mkutano Mkuu wa 13 wa Mwaka wa Korosho unaotarajiwa kufanyika Novemba 7-9 mwaka huu jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania, Francis Alfred na kulia ni Mkurugenzi Mkuu Shirikisho la Wadau wa Korosho Afrika, Dk. Ernest Mintah. Hafla hiyo imefanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania, Francis Alfred (kushoto), akizungumza na Waandishi wa Habari wakati akitangaza kufanyika kwa Mkutano Mkuu wa 13 wa Mwaka wa Korosho unaotarajiwa kufanyika kuanzia Novemba 7-9 mwaka huu jijini Dar es Salaam. Wengine pichani (katikati), ni Mkurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea, Dk. Steven Ngairo, aliyemwakilisha Waziri wa Kilimo pamoja na Mkurugenzi Mkuu Shirikisho la Wadau wa Korosho Afrika, Dk. Ernest Mintah.

No comments:

Post a Comment

Absa Bank Tanzania Celebrates Record-Breaking Success at the 2026 Tanzania Pickleball Open, Reinforcing Nation’s Vision as a Regional Sports Hub

  Absa Bank Tanzania Celebrates Record-Breaking Success at the 2026 Tanzania Pickleball Open, Reinforcing Nation’s Vision as a Regional Spor...

Pages