ZANZIBAR WAADHIMISHA SIKU YA AFYA NA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUTOA ELIMU KWA WANAFUNZI - THINKING IN BUSINESS

Mgongopr.blogspot.com is a business centered online platform highlighting trade, finance and economic news in Tanzania. Our coverage is customised to ensure we consolidate brands, boost sales and nurture investments. The site is an imprint of Mgongo Logistics and Solutions, a trusted consultancy firm, offering Social Media Management, Photography, Videography, Advertising, Event Management and Translation. For more information contact us via; Phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Sunday, September 27, 2020

ZANZIBAR WAADHIMISHA SIKU YA AFYA NA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUTOA ELIMU KWA WANAFUNZI

Msaidizi mrajis Baraza la Maafisa wa afya Zanzibar Mohamed Khamis Ali akitoa maelezo juu ya umuhimu wa uwepo wa maafisa afya katika madhimisho ya siku ya Afya na Mazingira Duniani iliyofanyika Skuli ya Sekondari ya Dk. Ali Mohamed Shein Muembeshauri Mjini Zanzibar.
Afisa afya kutoka Baraza la Maafisa Afya Zanzibar Farhat Lahdad Mohamed akiwasilisa mada ya Virusi vya Corona katika hafla ya madhimisho ya siku ya Afya na Mazingira Duniani ambapo mabibi afya na mabwana afya wametoa elimu kwa wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Lumumba.
Mwanafunzi wa kitato cha pili katika Skuli ya Sekondari ya Lumumba Zakaria Khamis Hamad akiuliza swali kwa mtoa mada wakati wa utoaji elimu ya afya na mazingira katika hafla ya madhimisho ya siku ya Afya na Mazingira Duniani.
Mwanafunzi wa Afya na Mazingira Fatma Saleh Ali kutoka Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) akitoa elimu kwa wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Lumumba njia sahihi ya kunawa mikono katika madhimisho ya siku ya Afya na Mazingira Duniani.
Picha ya pamoja ya Maafisa Afya kutoka Baraza la Maafisa Afya Zanzibar, wanafunzi wa SUZA wanaosoma Afya na Mazingira na wanafunzi wa kitato cha pili wa Skuli ya Sekondari ya Lumumba. (Picha na Makame Mshenga)

No comments:

Post a Comment

SERIKALI YASISITIZA UTAALAMU NA UBUNIFU KATIKA UNUNUZI NA UGAVI

Serikali imewataka wataalam wa ununuzi na ugavi nchini kuongeza ubunifu, uongozi bora na matumizi ya teknolojia za kisasa ili kuongeza ufani...

Pages