Benki ya Barclays yashinda tuzo ya Benki Bora nchini kutoa huduma za VISA CARD - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Friday, August 5, 2016

Benki ya Barclays yashinda tuzo ya Benki Bora nchini kutoa huduma za VISA CARD

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Barclays Tanzania, Abdi Mohamed (katikati), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam juzi  kuhusu tuzo waliyopewa na kampuni ya VISA baada ya kuibuka washindi wa kuwa benki bora nchini katika kuhamasisha wateja wake kutumia kadi ya VISA. Benki ya Barclays ilizindua kampeni ya miezi mitatu inayowahamasisha wateja wake kufanya manunuzi kwa kutumia kadi ya VISA hivyo kuondokana na madhara yanayoweza kujitokeza kwa kutembea na fedha nyingi. Kushoto ni Mkurugenzi wa Wateja wa rejareja na biashara ndogondogo, Kumaran Pather na kulia ni Mkuu wa Masoko na Mawasiliano, wote wa benki hiyo, Aron Luhanga.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Barclays Tanzania, Abdi Mohamed (katikati) na Mkurugenzi wa Wateja wa rejareja na biashara ndogondogo, Kumaran Pather wakionyesha kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, tuzo waliyopewa na kampuni ya VISA baada ya kuibuka washindi wa kuwa benki bora nchini katika kuhamasisha wateja wake kutumia kadi ya VISA. Benki ya Barclays ilizindua kampeni ya miezi mitatu inayowahamasisha wateja wake kufanya manunuzi kwa kutumia kadi ya VISA hivyo kuondokana na madhara yanayoweza kujitokeza kwa kutembea na fedha nyingi. Kulia ni Mkuu wa Masoko na Mawasiliano  wa benki hiyo, Aron Luhanga.
Baadhi ya maofisa wa Benki ya Barclays Tanzania  na wandishi wa habari wakihudhuria hafla ambayo uongozi wa benki hiyo ulionyesha tuzo waliyopewa na VISA baada ya kuibuka benki bora nchini kwa kuhamasisha matumizi ya kadi ya Visa.
Baadhi ya maofisa wa benki ya Barclays wakipozi kwa picha na tuzo yao mbele ya waandishi wa habari.  (All photos by Brian  Mgongo)

No comments:

Post a Comment

Minister officially launches real estate giant Coldwell Banker Tanzania and Zanzibar

Zanzibar Minister for Labour, Economy, and Investment, Shariff Ali Shariff addresses guests during the launch of Coldwell Banker Tanzania an...

Pages