Thursday, September 8, 2016
Zantel yatoa mbuzi kwa watoto yatima kusherehekea sikukuu ya idd.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni
ya simu za mkononi ya Zantel, Benoit Janin kulia), akikabidhi mbuzi 12 kwa
Kaimu Mufti, Sheikh Ally Ngeruko kwa niaba ya vituo mbalimbali vya kulelea
watoto yatima jijini Dar es Salaam kusherehekea sikukuu ya idd el Adha.
Makabidhiano yalifanyika katika ofisi za BAKWATA, Kinondoni, Dar es Salaam
jana. Wanaoshuhudia ni watoto kutoka katika vituo hivyo.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni
ya simu za mkononi ya Zantel, Benoit Janin (wa pili kulia), akikabidhi mbuzi 12
kwa vituo mbalimbali vya kulelea watoto yatima jijini Dar es Salaam kwa uratibu
wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) ambapo Kaimu Mufti, Sheikh Ally
Ngeruko (wa pili kushoto nyuma ya watoto), alipokea msaada huo kwa niaba ya vituo
hivyo. Makabidhiano yalifanyika katika ofisi za BAKWATA, Kinondoni, Dar es
Salaam jana. Kulia ni Meneja Biashara
wateja wa Makampuni wa Zantel, Kasongo Faraji.
Meneja Habari na Uhusiano wa Kampuni ya simu ya
Zantel, Winnes Lyaro (kulia) akigawa juisi kwa baadhi ya watoto yatima katika
hafla hiyo.
Meneja Biashara wateja wa Makampuni wa Zantel, Kasongo Faraji
(kulia), akizungumza katika hafla hiyo ambayo Zantel ilikabidhi msaada wa mbuzi 12 kwa Kaimu Mufti, Sheikh Ally Ngeruko
kwa niaba ya vituo mbalimbali vya kulelea watoto yatima jijini Dar es Salaam
kusherehekea sikukuu ya Idd el Haji
Baadhi ya wawakilishi wa vituo
vya kulelea watoto yatima wakichukua mbuzi waliotolewa na Zantel.(Picha na Brian Peter Mgongo)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Minister officially launches real estate giant Coldwell Banker Tanzania and Zanzibar
Zanzibar Minister for Labour, Economy, and Investment, Shariff Ali Shariff addresses guests during the launch of Coldwell Banker Tanzania an...
No comments:
Post a Comment