Wednesday, October 26, 2016
![](https://1.bp.blogspot.com/-7Kd9qaiRHuA/WaEtZyc70TI/AAAAAAAADsA/7WUYBVoY-UwwjdEP3kDFPvH9htN0dDKgQCLcBGAs/s1600/demo-image.jpg)
ZANTEL YABORESHA MTANDAO WAKE KWA HUDUMA BORA ZAIDI
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Dar
es Salaam, Ijumaa 21 Oktoba 2016. Katika kuhakikisha wateja wake wanapata
mawasiliano ya uhakika, Zantel ipo mstari wa mbele katika kufanya maboresho katika mtandao wake ili kuhakikisha
kila mmoja anafurahia huduma na bidhaa zao mbalimbali ikiwemo kasi ya mtandao wa
4G.
Kutokana na mchakato kiufundi kwatika
uboreshaji wa mtandao, wateja wa Zantel watahitajika kuhakikisha simu zao
zimerekebishwa mpangilio (setting) kuwa atomatik. Zoezi ambalo linaanza sasa
mpaka Desemba 31, 2016.
“Tumejizatiti kuhakikisha mtandao wetu
unatoa huduma bora endelevu kwa matarajio ya wateja wetu, wamiliki na wadau
wengine muhimu. Kupitia mipango tuliojiwekea, na uwekezaji katika miundo mbinu
yetu, tumechukua hatua za makusudi kuhakikisha wateja wetu katika kila kona ya
nchi hawachwi nyuma na mageuzi haya ya kiteknolojia”, aliongeza.
Mtandao wa kisasa wa Zantel
ulioboreshwa utawawezesha wateja kupata mawasiliano bora na yenye kasi katika
upatikaji wa inteneti. Nchi pia itanufaika kwani kasi ya inayopatikana katika
mtandao wa 4G itaziwezesha biashara na maendeleo ya teknolojia ya ubunifu na
huduma za kidigitali.
Zantel inawakaribisha kila mmoja
kujaribu na kufurahia intaneti ya kasi ya 4G.
MWISHO.
Kwa taarifa zaidi kuhusu
Zantel tembelea; www.zantel.com
Rukia Mtingwa – Brand and
Communication Manager
Simu:
+255 774 55 9999
Barua pepe: mtingwa@zantel.co.tz
Notes to the Editor:
Zantel
believes that apart from offering a solid platform of technological innovation,
sustainable investment is the bedrock of stellar growth and economic stability.
Zantel consistently demonstrates its core values of affordable, consistent and
seamless services through its International Gateway services, Fixed, Mobile,
data services through its 4G and 3G networks and mobile Finance services
popularly known as ‘Ezypesa”.
Zantel
is one of Millicom’s brands. Millicom is a leading telecom and media company
dedicated to emerging markets in Latin America and Africa. Millicom sets the
pace when it comes to providing innovative and customer-centric digital life
style services to the world’s emerging markets.
The Millicom Group employs more than 16,000 people and provides mobile services
to over 62 million customers. Founded in 1990, Millicom International Cellular
SA is headquartered in Luxembourg and listed on NASDAQ OMX Stockholm under the
symbol MIC.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Minister officially launches real estate giant Coldwell Banker Tanzania and Zanzibar
Zanzibar Minister for Labour, Economy, and Investment, Shariff Ali Shariff addresses guests during the launch of Coldwell Banker Tanzania an...
No comments:
Post a Comment