MKUTANO WA NBC NA WATEJA WAFANYIKA KWA MAFANIKIO MAKUBWA MKOANI SINGIDA - THINKING IN BUSINESS

Mgongopr.blogspot.com is a business centered online platform highlighting trade, finance and economic news in Tanzania. Our coverage is customised to ensure we consolidate brands, boost sales and nurture investments. The site is an imprint of Mgongo Logistics and Solutions, a trusted consultancy firm, offering Social Media Management, Photography, Videography, Advertising, Event Management and Translation. For more information contact us via; Phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Monday, October 15, 2018

MKUTANO WA NBC NA WATEJA WAFANYIKA KWA MAFANIKIO MAKUBWA MKOANI SINGIDA

Mkurugenzi wa Biashara wa Benki ya NBC, Elvis Ndunguru (kulia), akizungumza wakati wa mkutano uliondaliwa na NBC kwa wateja wake na wengineo ili kuweza kupata mrejesho wa huduma na bidhaa wazitoazo. Mkutano huo ulifanyika mkoani Singida juzi.
Mkurugenzi wa Biashara wa NBC, Elvis Ndunguru (kulia), akibadilishana mawazo na Katibu Tawala wa Wilaya ya Singida, Wilson Shimo (wa pili kushoto), wakati wa mkutano huo. Wengine kutoka kushoto ni, Meneja wa Tawi la NBC Singida, Thomas Lijaji na Diwani wa Kata ya Minga, Mariot Charles. 
Meneja wa Tawi la NBC Singida, Thomas Lijaji (kulia), akizungumza wakati wa mkutano uliondaliwa na NBC kwa wateja wake na wengineo ili kuweza kupata mrejesho wa huduma na bidhaa wazitoazo. Mkutano huo ulifanyika mkoani Singida juzi.
 Baadhi ya wateja na washiriki wengine waliohudhuria mkutano huo mjini Singida juzi.

No comments:

Post a Comment

SERIKALI YASISITIZA UTAALAMU NA UBUNIFU KATIKA UNUNUZI NA UGAVI

Serikali imewataka wataalam wa ununuzi na ugavi nchini kuongeza ubunifu, uongozi bora na matumizi ya teknolojia za kisasa ili kuongeza ufani...

Pages