Monday, October 15, 2018

MKUTANO WA NBC NA WATEJA WAFANYIKA KWA MAFANIKIO MAKUBWA MKOANI SINGIDA
Mkurugenzi wa Biashara wa Benki ya NBC, Elvis Ndunguru (kulia), akizungumza wakati wa mkutano uliondaliwa na NBC kwa wateja wake na wengineo ili kuweza kupata mrejesho wa huduma na bidhaa wazitoazo. Mkutano huo ulifanyika mkoani Singida juzi.
Mkurugenzi wa Biashara wa NBC, Elvis Ndunguru (kulia), akibadilishana mawazo na Katibu Tawala wa Wilaya ya Singida, Wilson Shimo (wa pili kushoto), wakati wa mkutano huo. Wengine kutoka kushoto ni, Meneja wa Tawi la NBC Singida, Thomas Lijaji na Diwani wa Kata ya Minga, Mariot Charles.
Meneja wa Tawi la NBC Singida, Thomas Lijaji (kulia), akizungumza wakati wa mkutano uliondaliwa na NBC kwa wateja wake na wengineo ili kuweza kupata mrejesho wa huduma na bidhaa wazitoazo. Mkutano huo ulifanyika mkoani Singida juzi.
Baadhi ya wateja na washiriki wengine waliohudhuria mkutano huo mjini Singida juzi.
Tags
# BUSINESS
Share This
Newer Article
NBC yapongezwa kwa kudhamini maonyesho ya mifuko ya uwezeshaji mjini Mbeya
Older Article
Kampeni ya DCB Digital yazidi yazidi kupasua anga
ABSA YAZINDUA MKOPO MPYA WA MALI ZA KIBIASHARA,SERIKALI YAPONGEZA JITIHADA
Hassani MakeroApr 04, 2025Taasisi za Ulinzi wa Mlaji zimetakiwa kushirikiana na FCC
Hassani MakeroMar 21, 2025Absa Group Reports 10% Increase in 2024 Earnings after Material Second-Half Recovery
Hassani MakeroMar 11, 2025
Labels:
BUSINESS
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Mkurugenzi wa Biashara wa Benki ya NBC, Elvis Ndunguru (kulia), akizungumza wakati wa mkutano uliondaliwa na NBC kwa wateja wake na wengineo ili kuweza kupata mrejesho wa huduma na bidhaa wazitoazo. Mkutano huo ulifanyika mkoani Singida juzi....
No comments:
Post a Comment