MASHINDANO YA PROPHET SUGUYE CUP YAFIKA PAZURI - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Saturday, June 15, 2019

MASHINDANO YA PROPHET SUGUYE CUP YAFIKA PAZURI


Beki na Nahodha wa Kampota FC, Sajo Orden (mwenyejezi ya bluu), akijaribu kumtoka Mshambuliaji wa Texas FC, Abdallah Shabani  wakati wa mchezo wa  Ligi ya Prophet  Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu ya Kampota ilishinda 2-0. Mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Mlinda mlango  wa Texas FC, James Mlina akijaribu kuokoa shambulizi dhidi ya mchezo wao na Kampota FC, wakati wa mchezo wa  Ligi ya Prophet Suguye  Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo Kampota ilishinda 2-0. Mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Mshambuliaji wa Kampota FC Hassan Fantom, akijaribu kumtoka mchezaji wa Texas FC, wakati wa mchezo wa Ligi ya Prophet Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo Kampota ilishinda 2-0. Mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Mshambuliaji wa Kampota FC, Juma Mziga akijaribu kuwatoka mabeki  wa Texas FC, wakati wa mchezo wa Ligi ya Prophet Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo Kampota ilishinda 2-0. Mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Mshambuliaji wa Kampota FC, Hassani Fantom, akijaribu kumtoka mchezaji wa Texas FC, wakati wa mchezo wa Ligi ya Prophet Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo Kampota ilishinda 2-0. Mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.

No comments:

Post a Comment

Airtel Money na Benki ya I&M Wazindua Mpango wa Elimu ya kifedha kuwawezesha Wajasiriamali Wanawake

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Airtel Tanzania, Bw. Charles Kamoto (kulia), akishikana mikono na Mkurugenzi Mtendaji wa I&M Bank Tanz...

Pages