MKUTANO WA KIKANDA WA KUPAMBANA NA MARADHI YA VIKOPE (TRACHOMA) WAFANYIKA ZANZIBAR - THINKING IN BUSINESS

Mgongopr.blogspot.com is a business centered online platform highlighting trade, finance and economic news in Tanzania. Our coverage is customised to ensure we consolidate brands, boost sales and nurture investments. The site is an imprint of Mgongo Logistics and Solutions, a trusted consultancy firm, offering Social Media Management, Photography, Videography, Advertising, Event Management and Translation. For more information contact us via; Phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Monday, August 12, 2019

MKUTANO WA KIKANDA WA KUPAMBANA NA MARADHI YA VIKOPE (TRACHOMA) WAFANYIKA ZANZIBAR

Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Harusi Said Suleiman akifungua Mkutano wa siku mbili wa kupambana na maradhi ya vikope (Trachoma) Duniani kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati, mkutano huo umefanyika Hoteli Sea Cliff Mangapwani Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja.
Baadhi ya wajumbe wa Mkutano wa kumbambana na maradhi ya vikope Duniani wakisikiliza hutubaya ya Naibu Waziri wa Afya (hayupo pichani) alipokuwa akifungua mkutano huo.
Mkurugenzi mradi wa kupambana na maradhi ya vikope Duniani , Paul Emerson, akielezea juu ya juhudidi zinazochukuliwa kuhakikisha maradhi ya vikope yanaondoka duniani kote.
Msaidizi Meneja Kitengo cha Maradhi yasiyopewa kipaumbele Salum Abubakar  (alieshika maiki) akijibu maswali ya wajumbe wa mkutano huo mara baada ya kuwasilisha mada ya uzoefu wa Zanzibar kama kisiwa katika kupambana na maradhi ya vikope.
Mkurugenzi kinga na elimu ya afya Zanzibar Dkt. Fadhil Mohammed Abdalla(kulia) akibadilishana mawazo na Mkurugenzi mradi wa kupambana na maradhi ya vikope Duniani, Paul Emerson.
Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Harusi Said (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa mkutano wa kupambana na maradhi ya vikope (Trachoma) uliofanyika Hoteli ya Sea Cliff Mangapwani.    

No comments:

Post a Comment

Absa Bank Tanzania Celebrates Record-Breaking Success at the 2026 Tanzania Pickleball Open, Reinforcing Nation’s Vision as a Regional Sports Hub

  Absa Bank Tanzania Celebrates Record-Breaking Success at the 2026 Tanzania Pickleball Open, Reinforcing Nation’s Vision as a Regional Spor...

Pages