DCB washiriki uzinduzi wa Mpango Mkuu wa Maendeleo Sekta ya Fedha - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Saturday, September 19, 2020

DCB washiriki uzinduzi wa Mpango Mkuu wa Maendeleo Sekta ya Fedha

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa (kushoto) akiwa na mmoja ya washiriki  wakati wa  uzinduzi wa Mpango Mkuu  wa Maendeleo ya Sekta ya Fedha nchini  uliozinduliwa na serikali  katika ukumbi wa Wizara ya Fedha  jijini Dodoma jana.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa (kushoto) akisalimiana na baadhi ya washiriki wakati wa  uzinduzi wa Mpango Mkuu wa Maendeleo ya Sekta ya Fedha nchini  uliozinduliwa na serikali  katika ukumbi wa Wizara ya Fedha  jijini Dodoma jana.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa (kuliaakishiriki uzinduzi wa Mpango Mkuu wa Maendeleo ya Sekta ya Fedha nchini pamoja na washiriki wengine uliozinduliwa na serikali  katika ukumbi wa Wizara ya Fedha  jijini Dodoma jana.

No comments:

Post a Comment

Benki ya Biashara DCB kuendelea kuboresha Maisha ya Watanzania

Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Biashara ya DCB, Bi. Zawadia Nanyaro (wa nne kulia) akishikana mikono na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Bias...

Pages